Reader Settings

Tone la Ukombozi.

Hamza mara baada ya kusikia sifa hizo kutoka kwa Himidu alijikuta akishindwa kujua acheke ama alie maana ni kama alikuwa amezidisha.

“Halafu bosi kabla sijasahau , nimekubaliana na wazee kwa niaba yako kwa ajili ya kupewa cheo cha heshima cha uchifu wa kambi ya nyoka”Aliongea Afande Himidu.

Kundi hilo la wazee wa kambi ya Nyoka wote walimwangalia Hamnza na matarajio makubwa.

“Kwanini …

Mchangie mwandishi kwa kuifungua na sarafu 2 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next