Reader Settings

Hamza alifungua karatasi ile na aligundua ilikuwa ni nyaraka iliotokea kwa Afande Simba , ikiwa na maelekezo na mpangilio wote wa safari ya kwenda kushiriki Baraza la Maksi.

Hamza aliishia kuhema tu , hakutamani kwenda kushiriki lakini kwasababu alikuwa amekwisha kukubali , alijikuta akiwa hana jinsi. Aliona ngoja achukulie kama muda wa kwenda kukutana na marafiki zake wa zamani.

Baada ya chakula cha mchana mambo …

Mchangie mwandishi kwa kuifungua na sarafu 1 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next