Hamza alifungua karatasi ile na aligundua ilikuwa ni nyaraka iliotokea kwa Afande Simba , ikiwa na maelekezo na mpangilio wote wa safari ya kwenda kushiriki Baraza la Maksi.
Hamza aliishia kuhema tu , hakutamani kwenda kushiriki lakini kwasababu alikuwa amekwisha kukubali , alijikuta akiwa hana jinsi. Aliona ngoja achukulie kama muda wa kwenda kukutana na marafiki zake wa zamani.
Baada ya chakula cha mchana mambo …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments