Hundred Shadows.
Hamza alijikuta akishangazwa na swali lile kwani hakuwa amejiandaa kabisa kama Regina angeuliza, alidhania yalikuwa yameisha pale pale.
“Wife, si nilishakuambia yule ni mdogo wangu wa hiari.”
“Wewe! Nilikubali kishingo upande pale kwasababu ya wageni. Hivi unadhani mimi ni mjinga? Yaani utoke naye asubuhi halafu uje uniambie eti mmetoka kuchagua zawadi. Unadhani mimi ni mtoto wa miaka mitatu kwamba nitakubaliana na kila unachoongea?”
…Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments