Reader Settings

ENDELEA..............................

"Ndugu yangu umenifanya nianze kuogopa sana kuwa nawewe Karibu naona kabisa maisha yangu kama yapo ukingoni Sina imani Kama hata hapa nitatoka salama maana naona Kama nipo na kiumbe ambacho kimevaa ngozi ya mwanadamu ila hakina uwanadamu wowote ule ndani yake" Qader alinena maneno yake huku akiwa anajifuta jasho mbele ya Aami Amadou Mbaye, alitamani hata kukimbia lakini hakuwa na huo uwezo.

Mchangie mwandishi kwa kuifungua na sarafu 1 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next