Reader Settings

“Black Fog, unafanya nini hapa? Mke wangu akituona tupo pamoja, nitakosa namna ya kujielezea,” aliongea Hamza.

“Si tushamwambia mimi ni mdogo wako wa hiari. Sidhani kama kutakuwa na tatizo,” aliongea Black Fog akidhani Regina alikuwa mwepesi kudanganyika.

Hamza muda huo hakujua acheke ama alie, lakini pia hakutaka kuelezea kinachoendelea, vinginevyo Rhoda angegundua kuwa Regina ni mtu mwenye hila sana.

Hamza alifikiria kwa dakika na palepale …

Mchangie mwandishi kwa kuifungua na sarafu 2 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next