STORY: IDAIWE MAITI YANGU
MWANDISHI: FEBIANI BABUYA
STORYTELLER: BUX THE STORYTELLER
WHATSAPP: 0621567672
EMAIL: [email protected]
AGE: 18+
********************
SEHEMU YA THELATHINI NA TANO
SONGA NAYO................
“Kuna namna naona inatakiwa tuachane na mawazo ya kumtafuta huyu mtu kwanza bali tujue sababu za msingi ambazo zinamfanya ayafanye haya yote”
“Unahisi ni yeye kafanya haya?”
“Shilingi ndio utambulisho wake inaonekana hivyo ni yeye”
…Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments