ENDELEA...............................
"Mheshimiwa kuna kitu ambacho umewahi kukijutia sana kwenye maisha yako mpaka leo umekuwa kwenye mafanikio makubwa sana namna hiyo?"
"Ndiyo kipo kipo siwezi kabisa kukisahau kwenye maisha yangu huwa kila nikilala na kuamka nakikumbuka sana tena sana"
"Unaweza kuwaambia vijana wenzako wapambanaji hapa ili nao wapate somo kidogo huenda ukawaongezea kasi ya upambanaji mtaani huko"
"Mhhhhh vijana wa siku hizi …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments