Reader Settings

ENDELEA...........................

"Mimi sidanganyi huo ndio ukweli wenyewe, nishakuwa mateka wako sina haja ya kukupatia uongo wowote tena"

"Hili jambo limewezekaka vipi?"

"Mr president hii dunia hakuna kitu ambacho kinashidikana, hii dunia wanaishi watu wenye akili kuliko hata unavyo fikiria wewe, mtu akikuzidi akili kidogo tu basi anaweza kukuendesha anavyotaka yeye hata kama una madaraka makubwa kiasi gani"

"Aliweza vipi kufanya kitu …

Mchangie mwandishi kwa kuifungua na sarafu 1 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next