Reader Settings

STORY: IDAIWE MAITI YANGU

MWANDISHI: FEBIANI BABUYA

STORYTELLER: BUX THE STORYTELLER

WHATSAPP: 0621567672

EMAIL: [email protected]

AGE: 18+

********************

SEHEMU YA SITINI NA MOJA

SONGA NAYO................

Mzee huyo alikuwa anaongea wakati huo akiwa anajinyoosha, alikuwa amefunguliwa tayari na kuruhusiwa aweze kuondoka. Dayana alikuwa amefanya makosa makubwa kwa sababu kosa la kwanza ni lile la kumteka lakini lile wangelimaliza ila …

Mchangie mwandishi kwa kuifungua na sarafu 1 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next