Reader Settings

ENDELEA…………………..

Ndani ya nchi ya Libya mheshimiwa Malek Salem alikuwa kwenye ofisi yake alikuwa anapokea taarifa ambazo zilikusanywa ndani ya GEREZA LA HAZWA kwamba ni kitu gani kilitokea mpaka mwanaume huyo akaonekana kwamba amekufa, kijana wake ambaye alimtuma Kwenda huko kufanya huo uchunguzi alikuwa ni 01THE FIRST kiongozi wa kundi la LIBYAN DEADLY SECRET TEN (10) SPECIALISTS (LDS10S) ambaye alikuwa komando wa kutisha …

Mchangie mwandishi kwa kuifungua na sarafu 1 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next