SEHEMU YA 199.

“Bro unafanya nini hapa?”Aliuliza Black Fog huku akionekana kuwa na furaha kiana hivi.

Hamza alimwangalia kidogo na kisha alitembea kumsogelea akiwa na tabasamu , na kupandisha katika kifusi hicho cha majani.

“Una hasira na Master wako?”Aliuliza Hamza na tabasamu la Nyakasura lilipotea palepale na aliishia kuokota majani makavu ya nyasi na kuaza kuyakunja kunja.

“Hapana , tokea nikiwa mdogo nishazoea kufokewa. Hii …

Mchangie mwandishi kwa kuifungua na sarafu 2 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next