Reader Settings

SEHEMU YA 198.

The White Queen.

Nyakasura mara baada ya kumuona Hamza amefika , alifuta midomo palepale na kumwangalia:

“Nimesikia hapa kuna farasi , nipeleke basi nikaendeshe?”Aliongea na Hamza kabla ya kumijibu aligida pafu la bia kwanza;

“Farasi wapo upande ule kwenye zizi. Unaweza kwenda na kuchagua mmoja na kumtoa nje , kwanini unataka nikupeleke?”

“Mimi ni mgeni hapa, si sahihi kwa mwenyeji kunipeleka?”Aliongea Nyakasura …

Mchangie mwandishi kwa kuifungua na sarafu 2 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next