SEHEMU YA 198.
The White Queen.
Nyakasura mara baada ya kumuona Hamza amefika , alifuta midomo palepale na kumwangalia:
“Nimesikia hapa kuna farasi , nipeleke basi nikaendeshe?”Aliongea na Hamza kabla ya kumijibu aligida pafu la bia kwanza;
“Farasi wapo upande ule kwenye zizi. Unaweza kwenda na kuchagua mmoja na kumtoa nje , kwanini unataka nikupeleke?”
“Mimi ni mgeni hapa, si sahihi kwa mwenyeji kunipeleka?”Aliongea Nyakasura …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments