Reader Settings

Unaweza kurudi ulipoishia kupitia Maktaba.

STORY: IDAIWE MAITI YANGU

MWANDISHI: FEBIANI BABUYA

STORYTELLER: BUX THE STORYTELLER

WHATSAPP: 0621567672

EMAIL: [email protected]

AGE: 18+

********************

SEHEMU YA TISINI NA MOJA

SONGA NAYO................

***********

Muda ulikuwa unakwenda, mambo mengi yalikuwa yanaendelea kutokea, Tanzania ilikuwa inazidi kuingia gizani na mkombozi hakuonekana alipokuwa, watu walikuwa wanaendelea kuhamaki namna mitaa ilivyokuwa kimya huku wakiwa hawaelewi …

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 1 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next