Reader Settings

Unaweza kurudi ulipoishia kupitia Maktaba.

SEHEMU YA 201.

Baada ya Khalidi kuondoka, Mathias Huge alionyesha tabasamu la kutanabahika huku akimwangalia Hamza.

“Hamza unapanga kweli kutojihusisha na makundi yako ya Barhams, Bafodil na Sea Demons?”

“Kwanini nijihusishe wakati Washikaji zangu wanafanya kazi nzuri , wanastahili kuongoza na isitoshe ikitokea ninahitaji msaada wao naweza kuwaomba tu”

“Hata kama ni marafiki zao wa kufa na kuzikana lakini hawawezi kukufuata kila mahali. Lakini kwa …

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 2 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next