SEHEMU YA 601.
Moli alijitahidi kupotezea hofu ya kumuogopa Roma na kisha akaanza kuwaelezea kuhusu eneo hilo lilivyo.
Kwa maelezo yake ni kwamba eneo hilo lilikuwa likiiitwa ulimwengu wa mapepo kutokana na kwamba viumbe ambao walikuwa wakipatikana hapo ni wale majini ambao walikuwa wakijifunza mbinu za kuvuna nishati ya mbingu na ardhi ili kulipa nguvu pepo la ndani(inner demon) kutawala mwili.
Inaaminika kwamba kila binadamu …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments