SEHEMU YA 205.
Gonzalezi alimwangalia Hamza alivyokuwa akimsogelea na palepale alijua ni kwa namna gani tatizo limekuwa kubwa. Akiwa na damu mdomoni , aliishia kusaga meno kwa nguvu na kisha akaongea;
“Wewe.. ulifanya makusudi kuniigizia sio?”
“Iwe nimekuigizia au vyovyote sio suala langu hilo, kama usingenisumbua hili lisingetokea”
“Lucifer kabla haujafanya chochote kwanini usiangalie kushoto kwako eneo F kwenye siti?”Aliongea Gonzalez akiwa na mwonekano wa …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments