Reader Settings

SEHEMU YA 205.

Gonzalezi alimwangalia Hamza alivyokuwa akimsogelea na palepale alijua ni kwa namna gani tatizo limekuwa kubwa. Akiwa na damu mdomoni , aliishia kusaga meno kwa nguvu na kisha akaongea;

“Wewe.. ulifanya makusudi kuniigizia sio?”

“Iwe nimekuigizia au vyovyote sio suala langu hilo, kama usingenisumbua hili lisingetokea”

“Lucifer kabla haujafanya chochote kwanini usiangalie kushoto kwako eneo F kwenye siti?”Aliongea Gonzalez akiwa na mwonekano wa …

Mchangie mwandishi kwa kuifungua na sarafu 2 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next