Reader Settings

SEHEMU YA 206.

Devil and Angel.

Watu hawakuamini Hamza angeweza kumpiga Gonzalez na ngumi moja tu na kumdondosha chini, hata wale ambao hawakushangilia mwanzo walijikuta wakishindwa kuficha hisia zao na kuanza kupiga makelele.

“Ngumi nyingine moja tu hadi chini!?”

“Nguvu aliokuwa nayo sio ya kawaida”

“Inatisha , anatisha sana Lucifer! Yaani nashindwa kuamini kafanikisha vipi kuhimili uzito wa Gonzalez ambao ni zaidi ya …

Mchangie mwandishi kwa kuifungua na sarafu 2 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next