SEHEMU YA 211.
Mwanamke aliekuwa mbele yake , hakuwa mwingine bali ni Rehema Mndeme , katibu muhtasi wa balozi Rajabu.
Rehema mara baada ya kumuona Hamza mbele yake , sura yake ilijawa na wasiwasi mwingi kiasi cha kufubaa.
“Mr Hamza , kwa kwanini..”
“Kwanini nimejua upo hapa , si ndio unataka kuuliza hivyo? kukujibu swali lako ni kwasababu kuna mtu alikuwa akikufuatilia”
“Kunifuatilia! Nimefanya nini …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments