Reader Settings

SEHEMU YA 211.

Mwanamke aliekuwa mbele yake , hakuwa mwingine bali ni Rehema Mndeme , katibu muhtasi wa balozi Rajabu.

Rehema mara baada ya kumuona Hamza mbele yake , sura yake ilijawa na wasiwasi mwingi kiasi cha kufubaa.

“Mr Hamza , kwa kwanini..”

“Kwanini nimejua upo hapa , si ndio unataka kuuliza hivyo? kukujibu swali lako ni kwasababu kuna mtu alikuwa akikufuatilia”

“Kunifuatilia! Nimefanya nini …

Mchangie mwandishi kwa kuifungua na sarafu 2 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next