STORY: JUMBA JEUSI
MWANDISHI: FEBIANI BABUYA
STORYTELLER: BUX THE STORYTELLER
WHATSAPP: 0621567672
EMAIL: [email protected]
AGE: 18+
EPISODE 54
ENDELEA.......
“Kwa sababu sikuona kama wanaweza kufanya kazi vile nataka, kwa sasa nilihitaji kuweka walinzi ambao moyo wangu unajihisi amani wakiwa karibu ya nyumba yangu”
“Una uhakika na maelezo yako bibie?”
“Ndiyo”
“Mimi unanifahamu?”
“Hapana”
“Basi usihitaji tufahamiane japo najua unanidanganya haya …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments