Reader Settings

SEHEMU YA 212.

On Fire.

Hamza alishangaa mno kuona mchawi ambae alikuwa akishambuliana nae kupitia maskeletoni ni Skelidon Magus ambae alikaa nae jukwaa moja la magwiji wakati wa vikao.

“Imekuwaje..! Bro si tulimuacha ukumbini?”Aliuliza Roda kwa mshangao.

Hamza pia alikuwa katika mshangao mkubwa na hakuacha kuhisia , suala hilo linazidi kuchukua sura mpya.

“Haha.. haha..khoo..” Mr Skeleton alitoa kicheko kilichoambatana na kikohozi, “Lucifer mwili wako …

Mchangie mwandishi kwa kuifungua na sarafu 2 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next