Reader Settings

SEHEMU YA 213.

Katika eneo la kikao , mathalani ndani ya ukumbi ambao mkutano wa Baraza la maksi ulikuwa ukifanyika.

Ijapokuwa Hamza hakuwa amerudi bado ukumbini kwa muda mrefu , lakini vikao viliendelea kama kawaida.

Mambo mengi ya hapa na pale yanayohusiana na ulimwengu wa giza yalikuwa yakijadiliwa mpaka usiku wa kiza. Kwa washiriki wengine walijikuta wakiboreka , maana majadiliano hayo yalikuwa ni juu ya …

Mchangie mwandishi kwa kuifungua na sarafu 2 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next