SEHEMU YA 213.
Katika eneo la kikao , mathalani ndani ya ukumbi ambao mkutano wa Baraza la maksi ulikuwa ukifanyika.
Ijapokuwa Hamza hakuwa amerudi bado ukumbini kwa muda mrefu , lakini vikao viliendelea kama kawaida.
Mambo mengi ya hapa na pale yanayohusiana na ulimwengu wa giza yalikuwa yakijadiliwa mpaka usiku wa kiza. Kwa washiriki wengine walijikuta wakiboreka , maana majadiliano hayo yalikuwa ni juu ya …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments