Reader Settings

SEHEMU YA 215.

Haikuwa hata na haja ya kugeuka na kujua ni nani , kwani sauti yake alishaijua tayari ni ya Nyakasura.

“Madam Nyakasura nilikuwa nikisaidia kitengo chenu cha Malibu , nilitoka kumkamata mbaya wenu”

“Umempata sasa?”

“Ndio na amekufa”

“Nani”

“Rehema Mndeme”Aliongea Hamza

“Ni yeye kweli . Yule mama na ubonge wake amefanya kazi chini ya idara ya Secretariat kwa zaidi ya miaka ishirini …

Mchangie mwandishi kwa kuifungua na sarafu 2 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next