Reader Settings

Msisimko wa Regina

Hamza alimshika tai yule dokta kwa nguvu akiwa amemkazia macho.

“Unapaswa kuniitia mtaalamu wa kunipa maelezo ya kutosha na sio kutafuta Credit kwa kuniambia mke wangu yuko sawa”

“Sawa Mr .. ngoj,,, ngoja niite daktari bingwa wa

masuala ya ubongo, aje na akupatie maelezo”Aliongea kwa kutetemeka na Hamza alimwachia.

“Wife usiwe na wasiwasi , nitajua njia ya kukusaidia kurudisha kumbukumbu …

Mchangie mwandishi kwa kuifungua na sarafu 2 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next