Al-Maestro.
Hamza akiwa katika hali ya usiriasi , alinyanyua ngumi yake na kumuonyesha Mahmoud.
“Utakula nyama kwa hiari yako au unataka kula ngumi? Nitahesabu mpaka tatu chagua.. moja … mbili “
Mahmoud alionekana mdogo kama piritoni na hata ongea yake ilikuwa ni ya kigugumizi.
“Nitakula nyama , nitakula nyama”Aliongea na haraka sana alichukua nyama mbichi na kwa kujikaza na kichefu chefu aling’ata pande.
“Ng’ata …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments