Al-Maestro.

Hamza akiwa katika hali ya usiriasi , alinyanyua ngumi yake na kumuonyesha Mahmoud.

“Utakula nyama kwa hiari yako au unataka kula ngumi? Nitahesabu mpaka tatu chagua.. moja … mbili “

Mahmoud alionekana mdogo kama piritoni na hata ongea yake ilikuwa ni ya kigugumizi.

“Nitakula nyama , nitakula nyama”Aliongea na haraka sana alichukua nyama mbichi na kwa kujikaza na kichefu chefu aling’ata pande.

“Ng’ata …

Mchangie mwandishi kwa kuifungua na sarafu 2 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next