Reader Settings

Unaweza kurudi ulipoishia kupitia Maktaba.

HADITHI: BADO NINAISHI (ASHRAFU NDILO JINA LANGU)

MWANDISHI: FEBIANI BABUYA

EMAIL: [email protected]

WHATSAPP: 0621567672

AGE: 18+

SEHEMU YA KUMI NA SABA

Wakati mheshimiwa akiwa kwenye hasira kali na mawazo mengi, kwenye ofisi yake aliingia katibu mkuu kiongozi

"Umeona kinacho endelea?" ndilo lilikuwa swali la kwanza la raisi kwa mtu huyo.

"Ndiyo mheshimiwa"

"Kuna lolote umelifanya?"

"Hapana, imekuwa ni ghafla sana hili jambo limetokea …

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 1 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next