Bilioni kumi waliona ni hela nyingi sana na , ni ngumu kwa Regina kuwa na Cash ya kiasi chote hicho cha pesa , labda auze hisa za kampuni au kuuza vitu alivyokuwa akimiliki.
Kwa lugha nyepesi ni kwamba kama Regina angetumia bilioni kumi , maana yake asingebakiwa na hela binafsi , zaidi ya hisa za kampuni pekee ambazo ndio utajiri wake hukadiriwa .
Ijapokuwa ni …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments