Reader Settings

Unaweza kurudi ulipoishia kupitia Maktaba.

HADITHI: BADO NINAISHI (ASHRAFU NDILO JINA LANGU)

MWANDISHI: FEBIANI BABUYA

EMAIL: [email protected]

WHATSAPP: 0621567672

AGE: 18+

SEHEMU YA AROBAINI

Safari ya mkuruenzi ilikuwa ni kuelekea sehemu ambayo ilikuwa kambi ya siri ya vijana wake watano ambao aliambiwa kwamba hali zao hazikuwa nzuri sana. Hakutaka kusindikizana na mlinzi yeyote yule usiku huo hivyo hata gari yake alikuwa anaiendesha mwenyewe kwani aliona kama ni …

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 1 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next