Reader Settings

Worldless Book

“Nini kilichompata huyo msichana?”Lilikuwa swali la Hamza kwenda kwa Rhoda.

Mapigo yake ya moyo yalikuwa yakienda spidi mno kwa kuhisi jambo kubwa limempata Irene.

“Amechomwa mwilini na tawi la mti. Sasa hivi Bazo amemchukua kumuwahisha Muhasi , hospitali ya taifa”Aliongea Rhoda.

“Tawi la mti kwenye mwili wake!?” Hamza aliongea huku akihisi utosi wa kichwa chake ukianza kumuwasha.

“Ndio , kulikuwa na mtu aliekuwa …

Mchangie mwandishi kwa kuifungua na sarafu 2 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next