Reader Settings

Unaweza kurudi ulipoishia kupitia Maktaba.

Muda wa saa mbili kamili za usiku Roma  alishuka kwa ajili ya chakula , chakula ambacho alikula  kama  alikuwa na  njaa ya wiki nzima , kwani alimaliza kalibia chakula chote kilichokuwa kwenye mabakuli.

Edna aliishia kujisemea kuwa Roma hakuwa ni mwenye aibu  hata kidogo kwa upande wa Bi Wema alifurahishwa sana na uwezo wa kula wa Roma.

“Bebi Edna  kesho naenda kwenye usaili”

“Sawa mafanikio mema”Aliongea Edna  huku akinyanyuka  na kutoa vyombo na baada ya kumaliza alipandisha ngazi na kwenda chumbani kwake , upande wa Roma hakuwa na mudi ya kubaki ndani hapo  kwani alitoka na funguo zake na  kuondoka.

Nusu saa mbele  alikuwa  alikuwa  akiingia Chalambe Mbagala katika Rango kubwa la Club B, aliegesha gari lake na kuingia  ndani huku akikutana na watu waliokuwa wamechangamka.

Zonga ndio mtu wa kwanza kumuona Roma, na alimsogelea kisha akamkaribisha kwa bashasha.

“Rose yuko wapi?”

“Madam Boss yupo ofisini kwake , itakuwa vyema kama utaenda kumuona”Aliongea Zonga na Roma alichukua  upande ambao ofisi ya Rose ilikuwepo , alifungua mlango bila kugonga na kuingia ndani na kumkuta  Rose aliekuwa  amejiegamiza kwenye masofa huku  pembeni kukiwa na chupa kibao za bia.

“Romaaa!”Aliongea Rose  huku akinyanyuka na kivivu na kumsogelea  kisha akamkumbatia huku machozi yakiwa yanamtoka , alianza kulia kwa kwikwi kiasi  ambacho kilimshangaza Roma.

“Roma kwanini hukuniambia unamwanamke mpaka unaniumiza kiasi hiki”Aliongea Rose na kumfanya Roma atambue Rose  anataarifa  za yeye kuoa , Roma hakutaka kuongea chochote Zaidi ya  kumtoa kifuani na kumwangalia usoni  na kuona uso wa mrembo huyu ulivyokuwa kwenye majonzi , alisogeza mdomo wake na kugusisha na mdomo wa  Rose na mwanamke hakuleta shida kwani aliupokea kwa pupa na walianza kukiss  huku hisia zikiwa zinaongezeka kila baada  ya sekunde

Ni ndani ya robo saa mbele Rose  na  Roma walionekana ndani ya kitanda kilichokuwa ndani ya ofisi hii ya Rose , huku mwanadada huyu akitoa miguno  ambayo ilimfanya Roma kuongeza spidi ya kupiga kiuno.

Mchezo ulichukua Zaidi ya dakika tisini mpaka pale ambapo Roma aliweza kutua mzigo wake  huku akiwa ni mwenye kuhema  kwa nguvu , lakini  kwa upande wa Rose akionekana akiwa hoi,Roma alimwangalia mwanadada huyu na kuona  alikuwa kwenye maumivu na yote hio ni mara baada ya kugundua kuwa Rose alikuwa Bikra , jambo hili lilimshangaza.

“Twende nyumbani kwako , nitalala huko”Aliongea Roma na Rose alitingisha kichwa na walikokotana kwamlango tofauti na ule wa Bar na kisha Roma alimpandisha Rose  kwenye Gari na kuondoka.

Sehemu aliokuwa akiishi Rose ni hapo hapo  kwani walichukua dakika mbili kufika  ndani ya Jumba  la Kifahari la mwanadada huyu.

Roma alimsaidia Rose kwa kumkanda sehemu zake za siri ili kupoza maumivu na  kisha waliingia kwenye shuka  na kukumbatiana.

“Masikini nimeshakuwa mchepuko”

“Ndio huo ndio uhalisia  unaopaswa ukubali , lakini sitokulazimisha kuendelea na mimi”

“Siwezi Roma nipo tayari kuwa mchepuko wako ila sio kukukosa kabisa”

Roma hakuongea  kitu Zaidi ya kumkumbatia Rose huku akitabasamu.

“Mke hatanuna  ukilala kwangu?”

“Hilo lisikusumbue mrembo eh , au unataka niondoke”

“Hapana nimeongea tu baba  usiondoke”

“Saa moja kamili Roma aliamka  na kuanza kumpapasa Rose  ambaye alimpa ushirikiano wa kutosha  na ndani ya dakika kadhaa mbele walipiga  cha asubuhi na Roma akaingia bafuni na kumuaga Rose kwa kumuambia kuwa alikuwa na Usalili na kampuni

“Karibu nyumbani Mr Roma”Aliongea Bi wema baada ya kumuona Roma akiingia sebuleni , na wakati huu Bi wema alikuwa  na Edna mezani wakinywa chai ya Asubuhi.

Roma alisalimia , huku akiliwa buyu na Mke wake  wala hakujali na kukaa mezani na kujisevia msosi na kuanza kula kama hana akili nzuri , hakujali macho mabaya ya Edna.

“Bi Wema  Asante kwa chai nzito , mimi ngoja nikajiandae kwa ajili ya kwenda kwenye usaili”.

“Bebi  Edna  niweke  mume wako kwenye maombi  nipate kazi”Aliongea  Roma na bila hata ya kusubiri  jibu  alipandisha ngazi kuelekea  kwenye chumba chake.

Ni muda waa saa tatu na nusu Roma aliegesha gari yake sehemu  maalumu ndani ya jengo hili refu  lililokkuwa likipatikana ndani ya Posta mtaa wa Samora  , baada ya kutoka kwenye gari moja kwa moja alienda  mapokezi  na kujieleza kwa  mwanadada mmoja mrembo  huku akiwa ni mwenye kushangazwa na uzuri wa kila mfanyakazi wa  kampuni hii.

“Hii sehemu ni sahihi kabisa kwangu”Alijiongelesha Roma huku akimkonyeza mrembo Mmoja aliekuwa eneo  la mapokezi na mrembo huyo alitabasamu na kisha kumpita Roma .

Roma alishangazwa na watu waliokuwa wamekuja kwa ajili ya usahili kwani wote walikuwa ni wanawake tena warembo huku mwanaume aliemuona hapo ndani ni mmoja tu , tena ni jamaa mmoja hivi kibonge.

“Hey Boy na wewe umekuja kwenye usaili?”

“Ndio kaka , vipi wewe?”

“Hata mimi pia ,niite Jacob”

“Namini niite Roma”

“Sasa Roma wewe nini kimekuvutia kuja kuomba kazi hapa?”

“Sababu kubwa mimi ya kuja kuomba kazi hapa ni Warembo , nasikia hii kampuni ina mapini  sio mchezo”

“Kaka nadhani umejionea  mwenyewe ni kweli hii kampuni imejaa warembo”

“Vipi wewe?”

“Mimi sababu kubwa sio warembo ila kuna mrembo mmoja ndio amenifanya kuja kufanya kazi hapa”

“Yupi huyo”

“CEO”

“Unamaanisha CEO wa hii kampuni ni mwanamke na ni mrembo pia?”

“kaka ndani ya hii kampuni hakuna anaemfikia kwa  uzuri CEO , kama huamini uliza uambiwe”Aliongea Kibonge

Wakati Roma na kibonge wanaongea  , kibonge zamu yake ilifikia na kuingia kwenye chumba cha usaili  na baada  kama ya nusu saa alitoka  huku akionekana kama mtu aliekosa tumaini.

“Vipi kaka mbona hivyo”

“Nimeulizwa maswali yote nimeshindwa kujibu sina ninalojua , ndoto yangu ya kuwa karibu na CEO  imekufa  kila la kheri kaka”Aliongea Kibongea na wakati huo huo Roma alisikia  jina lake na kusogelea mlango na kuingia .

Ile anaingia tu alijikuta akipokewa na sura mbili anazozifahamu  na sura moja asioifahamu , jumla ya wasaili walikuwa watatu , mtu wa kwanza Roma alimkumbuka vyema kwa urembo wake , lakini sio  hivyo tu  pia alimkumbuka kwa kumsaidia Shilingi Elfu tano  siku ambayo aliachwa njiani na  mke wake Edna, Mrembo yule msaili pia alimkumbuka vyema Roma na kujikuta akitabasamu mara baada ya kukutanisha nae macho,Siura ya pili Roma kuifahamu ni  mdada alipishana nae Mapokezi , huyu ni mrembo aliemkonyeza.

“MisterRoma Ramoni  nini kimekuvutia mpaka ukaomba kufanya kazi na sisi??”Aliuliza mrembo wa Buku tano.

“Kilichonivutia kwakweli si kingine Zaidi ya  warembo, napenda kufanya kazi kwenye mazingira ambayo  nazungukwa na warembo”Alijibu Roma kwa kujiamini na kuwafanya wasaili waangaliane na kutabasamu.

“Okey Mr Ramoni kwenye CV yako  ulioanisha kwamba unajua kuzungumza Lugha za mataifa mbalimbali Zaidi ya kumi jambo ambalo tunamashaka nalo licha ya kwamba  vyeti vyako vinaonesha una Masters  ya uongozi wa biashara kutoka  chuo cha Harvard , hivyo basi tumekuandalia maneno  kumi  ya  lugha tofauti tofauti unazojua  ili utuambie maana ya hayo maneno”

“Hakuna shida hilo ni rahisi sana kwangu”Aliongea Roma na kisha yule  dada wa Mapokezi alionyesha maneno hayo kwa kutumia  tarakishi na projekta na Roma alianza kusoma maneno hayo.

Yalianza kuonekana maneno ya kijerumani na Roma aliyasoma na kuyatolea tafsiri  na  wale walithibitisha ni sahihi , ikaja lugha ya kiarabu  nayo hivyo hivyo , ikaja lugha ya kireno ikawa hivyo hivyo , ikaja kifaransa , kikorea , kichina  Kinyarwanda …

Wasaili hawa walishangazwa mno na uwezo wa Roma , hawakuwahi kukutana na mtu ambae anajua Lugha nyingi kama Roma ..

Roma aliulizwa maswali mengi mengi  na kuyajibu  kiufasaha na wasaili  wakakubaliana kumpa kazi Roma  katika kitengo cha Public Relation.

“Karibu Vexto Roma, kwa kupata kwako kazi naamini Mke hatakuacha njiani tena mpaka kukoisa nauli”Aliongea mwanadada yule msaili huku akitabasamu.

“Asante sana”

“Naitwa Doris Alex afisa mwajiri  mkuu wa kampuni”.

“Nafurahi kufahamina na mrembo kama wewe Doris”Aliongea Roma na kumfanya mwanadada huyu kutabasamu na kufanya mashavu yake kuacha vishimo(Dimples)

“Naomba nichukue fursa hii kukuonesha baadhi ya maeneo ya kampuni kabla hatujaanza kazi  rasmi”Aliongea Doris na Roma alitingisha kichwa   na wote wakaingia kwenye Lift , Roma muda wote tabasamu halikuwa  likimwishia usoni , alijiona kama vile yupo kwenye mbingu  ya warembo, mrembo Dorisi alikuwa amempagawisha mno.

“Hii ndio Floor ambayo viongozi wa juu ya kampuni ofisi zao zipo , hii ni ofisi ya mhasibu mkuu wa  makampuni ya Vexto , hii ni ofisi yangu”Huku wakiingia na Roma aliisifia ofisi ya Doris.

Wakati Dorisi akiendelea kumpa shule Roma mara simu ya ofisi  yake ilitoa mlio  kuashiria inaita , alipokea na kuweka sikioni na kisha akashusha mkonga.

“Unaonekana kuwa na bahati sana Roma,CEO anataka kuonana na wewe jambo ambalo sio la kawaida”Aliongea Doris na  alimpeleka mpaka  kwenye  mlango wa ofisi uliojitenga na kisha alifungua na kukutana na sekretari  alimchangamkia na kumkaribisha , Sekretari alikuwa wakawaida sana , hakuwa mrembo  sana.

“Boss!  Mr Ramoni  has arrived”Aliongea Sekretari

“Let him in”

“You may go in   na tafadhari hakikisha unakuwa na heshima mbele ya bosi , sio mtu ambaye kila mtu anaweza kuingia kwenye ofisi yake”Aliongea  mwanadada huyu na  Roma aliingia  ndani ya ofisi hio  kubwa huku akiwa na tabasamu la kukutana na CEO mrembo maana kwenye kichwa cheka alikuwa akikumbuka maneno ya Kibonge aliekuja nae kufanya usaili muda mfupi uliopita.

“Akinivutia namtongoza  ,CEO kitu gani bwana”aliwaza

Roma alijikuta akipagawa  baada ya kumuona mtu ambae hakumtegemea  kuwa ndio CEO”

Previoua Next