Muda wa saa mbili kamili za usiku Roma alishuka kwa ajili ya chakula , chakula ambacho alikula kama alikuwa na njaa ya wiki nzima , kwani alimaliza kalibia chakula chote kilichokuwa kwenye mabakuli.
Edna aliishia kujisemea kuwa Roma hakuwa ni mwenye aibu hata kidogo kwa upande wa Bi Wema alifurahishwa sana na uwezo wa kula wa Roma.
“Bebi Edna kesho naenda kwenye usaili”
“Sawa mafanikio mema”Aliongea Edna huku akinyanyuka na kutoa vyombo na baada ya kumaliza alipandisha ngazi na kwenda chumbani kwake , upande wa Roma hakuwa na mudi ya kubaki ndani hapo kwani alitoka na funguo zake na kuondoka.
Nusu saa mbele alikuwa alikuwa akiingia Chalambe Mbagala katika Rango kubwa la Club B, aliegesha gari lake na kuingia ndani huku akikutana na watu waliokuwa wamechangamka.
Zonga ndio mtu wa kwanza kumuona Roma, na alimsogelea kisha akamkaribisha kwa bashasha.
“Rose yuko wapi?”
“Madam Boss yupo ofisini kwake , itakuwa vyema kama utaenda kumuona”Aliongea Zonga na Roma alichukua upande ambao ofisi ya Rose ilikuwepo , alifungua mlango bila kugonga na kuingia ndani na kumkuta Rose aliekuwa amejiegamiza kwenye masofa huku pembeni kukiwa na chupa kibao za bia.
“Romaaa!”Aliongea Rose huku akinyanyuka na kivivu na kumsogelea kisha akamkumbatia huku machozi yakiwa yanamtoka , alianza kulia kwa kwikwi kiasi ambacho kilimshangaza Roma.
“Roma kwanini hukuniambia unamwanamke mpaka unaniumiza kiasi hiki”Aliongea Rose na kumfanya Roma atambue Rose anataarifa za yeye kuoa , Roma hakutaka kuongea chochote Zaidi ya kumtoa kifuani na kumwangalia usoni na kuona uso wa mrembo huyu ulivyokuwa kwenye majonzi , alisogeza mdomo wake na kugusisha na mdomo wa Rose na mwanamke hakuleta shida kwani aliupokea kwa pupa na walianza kukiss huku hisia zikiwa zinaongezeka kila baada ya sekunde
Ni ndani ya robo saa mbele Rose na Roma walionekana ndani ya kitanda kilichokuwa ndani ya ofisi hii ya Rose , huku mwanadada huyu akitoa miguno ambayo ilimfanya Roma kuongeza spidi ya kupiga kiuno.
Mchezo ulichukua Zaidi ya dakika tisini mpaka pale ambapo Roma aliweza kutua mzigo wake huku akiwa ni mwenye kuhema kwa nguvu , lakini kwa upande wa Rose akionekana akiwa hoi,Roma alimwangalia mwanadada huyu na kuona alikuwa kwenye maumivu na yote hio ni mara baada ya kugundua kuwa Rose alikuwa Bikra , jambo hili lilimshangaza.
“Twende nyumbani kwako , nitalala huko”Aliongea Roma na Rose alitingisha kichwa na walikokotana kwamlango tofauti na ule wa Bar na kisha Roma alimpandisha Rose kwenye Gari na kuondoka.
Sehemu aliokuwa akiishi Rose ni hapo hapo kwani walichukua dakika mbili kufika ndani ya Jumba la Kifahari la mwanadada huyu.
Roma alimsaidia Rose kwa kumkanda sehemu zake za siri ili kupoza maumivu na kisha waliingia kwenye shuka na kukumbatiana.
“Masikini nimeshakuwa mchepuko”
“Ndio huo ndio uhalisia unaopaswa ukubali , lakini sitokulazimisha kuendelea na mimi”
“Siwezi Roma nipo tayari kuwa mchepuko wako ila sio kukukosa kabisa”
Roma hakuongea kitu Zaidi ya kumkumbatia Rose huku akitabasamu.
“Mke hatanuna ukilala kwangu?”
“Hilo lisikusumbue mrembo eh , au unataka niondoke”
“Hapana nimeongea tu baba usiondoke”
“Saa moja kamili Roma aliamka na kuanza kumpapasa Rose ambaye alimpa ushirikiano wa kutosha na ndani ya dakika kadhaa mbele walipiga cha asubuhi na Roma akaingia bafuni na kumuaga Rose kwa kumuambia kuwa alikuwa na Usalili na kampuni
“Karibu nyumbani Mr Roma”Aliongea Bi wema baada ya kumuona Roma akiingia sebuleni , na wakati huu Bi wema alikuwa na Edna mezani wakinywa chai ya Asubuhi.
Roma alisalimia , huku akiliwa buyu na Mke wake wala hakujali na kukaa mezani na kujisevia msosi na kuanza kula kama hana akili nzuri , hakujali macho mabaya ya Edna.
“Bi Wema Asante kwa chai nzito , mimi ngoja nikajiandae kwa ajili ya kwenda kwenye usaili”.
“Bebi Edna niweke mume wako kwenye maombi nipate kazi”Aliongea Roma na bila hata ya kusubiri jibu alipandisha ngazi kuelekea kwenye chumba chake.
Ni muda waa saa tatu na nusu Roma aliegesha gari yake sehemu maalumu ndani ya jengo hili refu lililokkuwa likipatikana ndani ya Posta mtaa wa Samora , baada ya kutoka kwenye gari moja kwa moja alienda mapokezi na kujieleza kwa mwanadada mmoja mrembo huku akiwa ni mwenye kushangazwa na uzuri wa kila mfanyakazi wa kampuni hii.
“Hii sehemu ni sahihi kabisa kwangu”Alijiongelesha Roma huku akimkonyeza mrembo Mmoja aliekuwa eneo la mapokezi na mrembo huyo alitabasamu na kisha kumpita Roma .
Roma alishangazwa na watu waliokuwa wamekuja kwa ajili ya usahili kwani wote walikuwa ni wanawake tena warembo huku mwanaume aliemuona hapo ndani ni mmoja tu , tena ni jamaa mmoja hivi kibonge.
“Hey Boy na wewe umekuja kwenye usaili?”
“Ndio kaka , vipi wewe?”
“Hata mimi pia ,niite Jacob”
“Namini niite Roma”
“Sasa Roma wewe nini kimekuvutia kuja kuomba kazi hapa?”
“Sababu kubwa mimi ya kuja kuomba kazi hapa ni Warembo , nasikia hii kampuni ina mapini sio mchezo”
“Kaka nadhani umejionea mwenyewe ni kweli hii kampuni imejaa warembo”
“Vipi wewe?”
“Mimi sababu kubwa sio warembo ila kuna mrembo mmoja ndio amenifanya kuja kufanya kazi hapa”
“Yupi huyo”
“CEO”
“Unamaanisha CEO wa hii kampuni ni mwanamke na ni mrembo pia?”
“kaka ndani ya hii kampuni hakuna anaemfikia kwa uzuri CEO , kama huamini uliza uambiwe”Aliongea Kibonge
Wakati Roma na kibonge wanaongea , kibonge zamu yake ilifikia na kuingia kwenye chumba cha usaili na baada kama ya nusu saa alitoka huku akionekana kama mtu aliekosa tumaini.
“Vipi kaka mbona hivyo”
“Nimeulizwa maswali yote nimeshindwa kujibu sina ninalojua , ndoto yangu ya kuwa karibu na CEO imekufa kila la kheri kaka”Aliongea Kibongea na wakati huo huo Roma alisikia jina lake na kusogelea mlango na kuingia .
Ile anaingia tu alijikuta akipokewa na sura mbili anazozifahamu na sura moja asioifahamu , jumla ya wasaili walikuwa watatu , mtu wa kwanza Roma alimkumbuka vyema kwa urembo wake , lakini sio hivyo tu pia alimkumbuka kwa kumsaidia Shilingi Elfu tano siku ambayo aliachwa njiani na mke wake Edna, Mrembo yule msaili pia alimkumbuka vyema Roma na kujikuta akitabasamu mara baada ya kukutanisha nae macho,Siura ya pili Roma kuifahamu ni mdada alipishana nae Mapokezi , huyu ni mrembo aliemkonyeza.
“MisterRoma Ramoni nini kimekuvutia mpaka ukaomba kufanya kazi na sisi??”Aliuliza mrembo wa Buku tano.
“Kilichonivutia kwakweli si kingine Zaidi ya warembo, napenda kufanya kazi kwenye mazingira ambayo nazungukwa na warembo”Alijibu Roma kwa kujiamini na kuwafanya wasaili waangaliane na kutabasamu.
“Okey Mr Ramoni kwenye CV yako ulioanisha kwamba unajua kuzungumza Lugha za mataifa mbalimbali Zaidi ya kumi jambo ambalo tunamashaka nalo licha ya kwamba vyeti vyako vinaonesha una Masters ya uongozi wa biashara kutoka chuo cha Harvard , hivyo basi tumekuandalia maneno kumi ya lugha tofauti tofauti unazojua ili utuambie maana ya hayo maneno”
“Hakuna shida hilo ni rahisi sana kwangu”Aliongea Roma na kisha yule dada wa Mapokezi alionyesha maneno hayo kwa kutumia tarakishi na projekta na Roma alianza kusoma maneno hayo.
Yalianza kuonekana maneno ya kijerumani na Roma aliyasoma na kuyatolea tafsiri na wale walithibitisha ni sahihi , ikaja lugha ya kiarabu nayo hivyo hivyo , ikaja lugha ya kireno ikawa hivyo hivyo , ikaja kifaransa , kikorea , kichina Kinyarwanda …
Wasaili hawa walishangazwa mno na uwezo wa Roma , hawakuwahi kukutana na mtu ambae anajua Lugha nyingi kama Roma ..
Roma aliulizwa maswali mengi mengi na kuyajibu kiufasaha na wasaili wakakubaliana kumpa kazi Roma katika kitengo cha Public Relation.
“Karibu Vexto Roma, kwa kupata kwako kazi naamini Mke hatakuacha njiani tena mpaka kukoisa nauli”Aliongea mwanadada yule msaili huku akitabasamu.
“Asante sana”
“Naitwa Doris Alex afisa mwajiri mkuu wa kampuni”.
“Nafurahi kufahamina na mrembo kama wewe Doris”Aliongea Roma na kumfanya mwanadada huyu kutabasamu na kufanya mashavu yake kuacha vishimo(Dimples)
“Naomba nichukue fursa hii kukuonesha baadhi ya maeneo ya kampuni kabla hatujaanza kazi rasmi”Aliongea Doris na Roma alitingisha kichwa na wote wakaingia kwenye Lift , Roma muda wote tabasamu halikuwa likimwishia usoni , alijiona kama vile yupo kwenye mbingu ya warembo, mrembo Dorisi alikuwa amempagawisha mno.
“Hii ndio Floor ambayo viongozi wa juu ya kampuni ofisi zao zipo , hii ni ofisi ya mhasibu mkuu wa makampuni ya Vexto , hii ni ofisi yangu”Huku wakiingia na Roma aliisifia ofisi ya Doris.
Wakati Dorisi akiendelea kumpa shule Roma mara simu ya ofisi yake ilitoa mlio kuashiria inaita , alipokea na kuweka sikioni na kisha akashusha mkonga.
“Unaonekana kuwa na bahati sana Roma,CEO anataka kuonana na wewe jambo ambalo sio la kawaida”Aliongea Doris na alimpeleka mpaka kwenye mlango wa ofisi uliojitenga na kisha alifungua na kukutana na sekretari alimchangamkia na kumkaribisha , Sekretari alikuwa wakawaida sana , hakuwa mrembo sana.
“Boss! Mr Ramoni has arrived”Aliongea Sekretari
“Let him in”
“You may go in na tafadhari hakikisha unakuwa na heshima mbele ya bosi , sio mtu ambaye kila mtu anaweza kuingia kwenye ofisi yake”Aliongea mwanadada huyu na Roma aliingia ndani ya ofisi hio kubwa huku akiwa na tabasamu la kukutana na CEO mrembo maana kwenye kichwa cheka alikuwa akikumbuka maneno ya Kibonge aliekuja nae kufanya usaili muda mfupi uliopita.
“Akinivutia namtongoza ,CEO kitu gani bwana”aliwaza
Roma alijikuta akipagawa baada ya kumuona mtu ambae hakumtegemea kuwa ndio CEO”
Comments