Nasra alikuwa na aibu mno kama mwanamke , hakuwahi kuwaza atakuja kuwa uchi mbele ya Roma , alijishangaa ilikuwaje maana hakuwa ni mwenye kukumbuka kabisa , kumbukumbu zake za mwisho zilimwambia alikuwa ndani ya eneo hili la kuegeshea magari akijiandaa kwenda nyumbanni , lakini baada ya hapo hakujua nini kilitokea.
“Roma nini , kimetokea kwanini umenivua nguo?”
“Nasra mrembo ,hebu vaa kwanza hizo nguo maana unaniweka kwenye wakati mgumu”Nasra alichukua nguo zile na kisha alivaa harakaharaka , hakujali tena macho ya Roma ambayo yalikuwa yanamwangalia , alijiambia hana cha kuficha kwani mwanaume huyo alikuwa ashaona kila kitu.
“Nataka kujua nini kimetokea Roma kwanini niko hivi na nguo zangu ziko wapi?”.
“Hata mimi sijui nini kimekutokea , nimekukuta kwenye gari ukiwa hauna nguo ndio nikaenda kukununulia hizo unazoona”Alimdanganya , lakini bado Nasra hakuelewa ila alikumbuka alipopatwa na usingizi ghafla.
Nasra aliona hana haja ya kuendelea kuuliza maswali , kwani alimuona Roma kama mtu ambae hakuwa na maelezo ya ziada kwake kumfanya aelewe , lakini pia alijiona hajatumika na hilo likawa ni ahueni.
“Huna haja ya kuwa na wasiwasi Nasra kwa sasa nenda nyumbani”Aliongea Roma kwa kujiamini na akijiandaa kutoka , lakini alishangaa kuvutwa na Nasra na midomo yao ikagusana na Roma alijikuta akishangaa maana ilikuwa ghafla sana.
“Asante Roma”Aliongea huku akiona aibu za kike akijitoa kwa Roma , lakini Roma alitabasamu na kumvuta tena na wakaanzza kunyonyana kwa spidi.
“Twende ninapoishi Roma”Aliongea Nasra
“Poa”
Roma ndio aliekuwa ameshikilia Usukani na ndani ya madakika machache tu walikuwa ndani ya mikocheni kwa Warioba , wakiingia ndani ya Apartment.
Roma alisifia mahali anapoishi Nasra maana palionekana ni pakishua ,baada ya wawili hawa kuingia ndani walizama bafuni na kilichosikika huko ni miguno ya kimahaba.
“Roma miguu haina nguvu twende kitandani”Aliongea mwanadada huyu na Roma hakumsemesha Zaidi ya kumbeba kwa mtindo wa Nasra kumkumBatia Roma huku miguu akiwa ameipitisha kiunoni na Mtwangio wa Roma ukiwa ndani ya kinu.
“Roma nioe”Aliongea Nasra mara baada ya Roma kufikia kileleni.
“Nina mke Nasra na sina mpango wa kuoa tena”Aliongea Roma na kumfanya Nasra ahuzunike.
“Ila usijali ninaweza kuwa Zaidi ya mume kwako kama utanihitai mrembo eh”Huku akimimnya minya kalio kama Embe na kumfanya Nasra Atabasamu.
Roma alikuwa ashasahau kabisa kurudi nyumbani na wala hakuwa na mpango , walipika wakala na kupakuana na kupumzika na kupakuana tena , huku Nasra akiwa ni mwenye kupiga magoli mengi mno yasio kuwa na idadi na aliishia kujisemea moyoni kuwa katika siku zote alizofanywa siku hio kafanywa kweli na hata alivyokuwa anakaa alishindwa kubana miguu.
Roma baada ya kuamka asubuhi , alimwamsha Nasra na kisha walipiga cha Asubuhi na Roma akaoga na kisha akaondoka , alipanga arudi nyumbani kwake maana hakurudi Zaidi ya siku mbili.
Saa moja na nusu alikuwa akiingia ndani nyumbani na kupokelewa kwa ukarimu na Bi Wema lakini pia akipokelewa na jicho kali kutoka kwa Edna.
“Bebi nimerudi”Aliongea Roma huku akikaa kwenye meza kwani Edna na Bi wema walikuwa wakinywa chai asubuhi ila kwa Edna aliitikia kwa kutingisha kichwa na kuinuka.
“Bi Wema naelekea kazini sijisikii kuendelea kunywa chai leo”Aliongea Edna na kisha akaanza kupiga mwendo huku Roma akimwangalia mke wake anavyotokomea nje.
“Kwenye wanawake niliowahi kukutana nao Edna ni kiboko ya makauzu hafananii na urembo wake”Aliwaza Roma
Bi Wema licha ya kukasirishwa na kitendo cha Roma kutokurudi nyumbani mfululizo , ila hakuwa na la kusema ,aliwaacha wanandoa na ndoano zao.
Edna alionekana hakuwa sawa hata kidogo , alionekana ni mambo mengi sana aliokuwa akiyawaza katika kichwa chake, moja ya vitu ambavyo vilikuwa vikimpa wakati mgumu mwanadada huyu ni jambo ambalo amepata kulijua baada ya kuangalia kilichokuwa kwenye Flash aliokabidhiwa na mheshimiwa Senga.
Alijikuta akiingia kwenye ofisi yake baada ya kusalimianana Sekretari wake na kujibwaga kwenye kiti chake huku akionekana ni mwenye mawazo.
“Kwanini Mama hakuniambia haya ,Juhudi zake zote za kuiendesha hii kampuni kumbe yote hayo hayakuwa na maana kwake Zaidi ya kisasi alichokuwa nacho moyoni ,kwanini kanichagua kumsaidia katika kulipiza kisasi chake kupitia hii kampuni?”Aliwaza mengi mwanadada huyu na ilionekana kuna siri kubwa ambayo alikuwa ameipata kwenye ile Flashi aliokuwa amepewa na mheshimiwa Senga , Siri ambayo inamfanya kugundua kuwa mama yake ana kisasi juu ya jambo Fulani , lakini pia ilionekana kisasi hiko alishindwa kukitimiza mpaka wakati kifo kinamkuta na mtu pekee ambae alikuwa akipaswa kutimiza kisasi hiko ni yeye.
Mara nyingi sana ni ngumu kuona mzazi kumtaka mwanae kumsaidia kulipa kisasi , lakini jambo hilo lilionekana kufanywa na mama yake Edna.
“Nitajua tu nini kilitokea miaka ishirini na tano iliopita,kwa maisha alioishi mama yangu ya kufanya kazi kama hakukuwa na kesho nadhani litakuwa ni jambo kubwa sana lililotokea”Aliwaza mwanadada huyu na alionekana pia kutokujua Zaidi ni nini kilitokea miaka ishirini na tano iliopita , kitu ambacho kinamfanya mama yake kuishi nacho moyoni kiasi cha kutaka kulipa kisasi na hata aliposhindwa kumtaka mwanae kumsaidia kulipa kisasi hiko.
Wakati mwanadada huyu akiendelea kufikiria , aliingia Monicca sekretari wake na kumtaarifu kuwa kuna mgeni wake na Edna alimwambia amruhusu na alionekana Abubakari Hamadi CEO akiingia ndani ya ofisi ya huyu mwanadada.
“Karibu Mr Abubakari”Aliongea Edna akiweka sura ya kikarimu na kutoka kwenye kiti chake na kwenda kuketi kwenye masofa.
“Asante Edna”.Aliongea Abuu huku akimwangalia Edna kwanzia miguuni hadi kwenye kichwa.
“Anazidi kuwa mzuri ,roho inaniuma fala kama Roma ndio anaeufaidi huu uzuri”
“Nadhani hujaja kunikodolea macho Mr Abubakari”Aliongea Edna mara baada ya kumuona jinsi Abu anamvyokodolea macho ya kifisi.
“Hakika unazidi kuwa mrembo kila siku ninayokuona Edna, inaniuma kila siku kuona hutaki kuzielewa hisia zangu”.
“Abu nadhani unapaswa kuwa Profesheno , huu ni muda wa kazi na tunapaswa kuongelea maswala ya kazi , na isitoshe sipendi uvuke mpaka , mimi ni mume wa mtu na unavyoniambia hayo maneno ni kama kunivunjia heshima na kuniona mimi Malaya”Aliongea Edna huku akionekna ni mwenye kuwa na usiriasi wa hali ya juu na kumfanya Abu azidi kumchukia Roma moyoni.
“Nini umekipenda haswa kutoka kwa yule masikini Edna?”.
“Abu kama huna jambo la maana ambalo limekuleta hapa naomba uondoke nipo kazini”.
“Sorry Edna”Aliongea ila Edna hakujali na Abuu baada ya kumwangalia mrembo huyu alivyokasirika aliingiza mkono wake kwenye koti na kutoa bahasha na kisha alimkabidhi Edna.
Edna alichukua kile kijibahasha na kisha akakifungua na kusoma kilichoandikwa .
“Nadhani hujasahau kuwa wewe ni mmoja wa mwanachama wa Umoja wa wawafanya biashara nchini, hivyo kama ilivyokuwa tamaduni kwa kila mwaka wafanya biashara nchini hukusanyika kwa pamoja mara moja kwa mwaka, kadi hio ni ya mwaliko”
“Ndio ni ya mwaliko , lakini kuna haja gani ya Hafla hio kuwa siku ya kunipongeza kwa kupata mume , naona swala hili ni binafsi”.
“Najua unachomaanisha Edna , lakini tamaduni ni tamaduni,wanachama wanataka umtambulishe mume wako kwao , sidhani swala hili lina tatizo Edna na isitoshe wewe sio wa kwanza kufanya hivyo , hizi ni taratibu ambazo zinafanyika kila mwaka kwa wanandoa wapya katika ulingo wa biashara kufanya hivyo”Aliongea Abu.
Edna alivuta pumzi nyingi na kisha akazitoa na kuangalia tena tarehe ya kadi hio na kisha akamwangalia Abu,
“Hakuna shida , itakuwa jambo jema pia kwa wafanya biashara kumjua mume wangu”Aliongea Edna na kumfanya Abuu achukie moyoni ila alionyesha tabasamu usoni.
Hilo ndio jambo lililonileta hapa japo ni dogo , lakini nimepata nafasi ya kukuona Edna na angalau moyo wangu unaokuwazia kila siku umepata ahuieni”.
“Kama ndio hivyo basi unapaswa kwenda Abu nina kazi nyingi za kufanya”Abu hakutaka kumkera Edna , alitoka ndani ya ofisi.
“Hivi jamani mnamuonaje CEO Abu?”Aliongea Recho kwa sauti kiasi cha kumfanya Roma aliekuwa akicheza gemu atege sikio kwa umakini na kujiuliza kwanini Stori za Abu zimeingia katika maongezi ya warembo hawa.
“Namuona kama mwanaume mwenye mvuto na handsome , alie na mafanikio ya juu na msomi sidhani kama kuna mwanamke ambaye anaweza kumkataa hapa mjini”Aliongea Benadetha
“Wewe nae unajiongelesha kama umesahau kuwa Abu anateseka juu ya Edna miaka na miaka lakini ameshindwa hata kuambulia kisi”.Aliongezea mwanadada mmoja anaefahakika kwa jina la Tina huku akiendelea kujipaka poda na kuendelea kujiangalia kwenye kioo.
“Bosi wetu na ukauzu wake kuna siku tu ataingia kingi”.
“Haiwezekani labda mimi sio Roma”Aliropoka Roma na kufanya warembo hawa waliokuwa wamemsahau kama yupo wamwangalie na kisha wote wakaanza kucheka.
“Eti Roma mpenzi , kwenye maisha yako wewe ni jambo gani kubwa ulilokamilisha?”Aliuliza Recho na kuwafanya wadada hawa wote wamwangalie.
“Hii ndio hasara ya kufanya kazi na wanawake tu , angalia wote wanavyoniangalia , inabidi niwatembezee bakora za kimkakati waache kuniangalia kwa dharau”
“Kusema ukweli sina nilichokamilisha katika maisha yangu , mimi kila kitu natumia cha mke wangu gari kanipa mke wangu , nguo mke wangu”
Waliangaliana na kisha wote wakacheka ,lakini walikuja kunyamazishwa mara baada ya mrembo Nasra kuingia ndani ya ofisi hii, alikuwa ameshika mkononi juisi na alienda nayo mpaka kwenye meza ya Roma na kuiweka.
“Roma nimekuja kuna jambo Nataka unisaidie , sina mwingine wa kunisaidia na wewe pekee ndio mwanaume hapa ndani”
“Niambie ni jambo gani hilo Mrembo,Mimi ni nani hata nisikusadie mwanamke mzuri kama wewe”Aliongea huku akimkonyeza na Nasra kuona aibu za kike huku akikUmbuka namna ambavyo amekunjwa jana yake na mpaka wakati huo mbususu bado haijapoa na kuona aibu zaidi.
“Utaona tukifika , ila ni nje ya hapa”Aliongea mwanadada huyu na Roma akaona itakuwa vyema akinyoosha nyoosha mwili , maana hakuwa na kazi Zaidi ya kucheza magemu.
Roma alimkonyeza Recho aliekuwa akiwashangaa wawili hao namna wanavyoongea tofauti na siku zote na kuhisi kuna kitu kinachoendelea.
“Nina wasiwasi na Roma hajamtia kweli Doris na Nasra huyu?”
Aliwaza Recho huku akikumbuka ile skendo ya waziri Neema Luwazo , licha ya kuona picha ile iliokuwa ikifanana na Roma akili yake ilikataa katakata kama mtu yule ni Roma ,na sio yeye tu hata wafanya kazi wenzake walivyokaa kikao na kujadilina swala hilo walifikia maamuzi kwamba yule bwana hakuwa Roma , maana walikuwa wakimjua vyema Neema alikuwa Mzuri na wa hadhi ya juu.
Laiti wangejua kuwa Roma alimfanya huyo mwanamke mpaka akayaita maji ‘mma’ wasiongekuwa na mawazo ya kejeli ya namna hio.
*****
Upande mwingine ndani ya jengo refu la PSSF flour namba kumi na moja , walionekana wafanyakazi wa juu wa MapleGroup(Top executive officers) wakiwa wamezunguka meza kubwa wadada na wanaume wakiwa na tarakishi zao za kimapakato za bei ya juu , wakiwa wamekaa kulia na kushoto , huku mwisho wa meza alionekana mwanadada mrembo akiwa ameketi huku wafanya kazi hawa waliovalia suti kumwangalia kwa kutamani kuketi kwenye kiti alichokalia , ndani hapa kulionekana kukiwa na kikao kilichokuwa kikiendelea.
“Kama nilivyokwisha kutangulia kusema kwamba kwa sasa Hoteli za kampuni yetu zimezidi kuwa maaufu sana hapa nchini na nje ya nchi kutokana na ubora wa huduma zake , lakini licha ya umaarufu huo mapato yanaonekana bado hayajaongezeka kwa kiasi kikubwa nje ya malengo ya mwaka hun ya kampuni , hivyo kwa utafiti niliofanya nimekuja na hitimisho ambalo litaipelekea kamapuni kuongeza mapato katika upande wa hoteli na hitimisho hilo ni kufungua hoteli za nyota tatu nyingi Zaidi nchini , katika maeneo ambayo yanatembelewa sana na watalii kama Lushoto ,Iringa ,Kahama na kwingineko”Aliongea bwana mmoja hivi mweupe aliekuwa amevalia miwani huku akiwa na suti yake ya Kaunda ya bei mbaya , bwana huyu alionekana alikuwa akielezea namna ya kuinua mapato ya kampuni hii ya Maple Group.
Baada ya kijana huyu kukoma kuongea , alimgeukia mwanamke ambaye alikuwa kiongozi wa kampuni hii , lakini mwanamke huyo mrembo alionekana kuwa mbali kimawazo na hata wafanya kazi hawa walimshangaa bosi wao, kwani hawakuwa wamemzoea kuwa katika hali kama hio , walimjua kama moja ya wanawake wachapakazi.
“Mheshimiwa?”Aliita kijana huyu na kumshitua mwanamke huyu mrembo na kumwangalia kijana aliekuwa mbele yake.
“Alhaji naamini katika mipango yako , hivyo endelea na huo mpango ila naomba uniwekee mpango huo katika maandishi na umpe Grace auingize katika kashabrasha langu”
“Sawa Bosi”Aliongea Alhaji na kisha mwanamke huyu aliondoka , huku akiwaacha wafanya kazi wakimpigia Alhaji makofi kwani waliliridhishwa na wazo lake.
“Grace fanya maandalizi , kesho nataka kurejea Dodoma kwa ajili ya vikao vinavyoendelea Bungeni”Naama huyu ni mrembo Neema pisi ya Mheshimiwa Kigombola.
Neema mara baada ya kuingia kwenye ofisi yake kubwa ndanni ya jengo hili , aliketi na kisha akazungusha kiti na kuangalia mandhari ya jiji huku akionekana ni mwenye kufikiria jambo.
“Yule mwanaume sijui nampataje tena , Kila ninapofumba macho kumbukumbu zangu zinanirudisha siku ile akiniingiza dudu lake,ni hisia ambazo sijawahi kuexperience kwenye maisha yangu,Natamani kumtafuta kwani nina uwezo huo , lakini ngoja niache, kama Mungu akitukutanisha tena naapa kwa majina yote ya mbingu na ardhi simuachii hata kama ni mume wa mtu nitakuwa mchepuko wake grade A”Aliwaza Neema Luwazo Naibu waziri huyu mrembo wa Sanaa.
Wakati akiendelea kufikiria mara simu yake kubwa ya Iphone ilianza kuita na kuangalia jina na lilisomeka ‘Mchomvu”.
“Huyu kizee nae msumbufu kweli, na kitumbua changu atakisikia kwenye bomba”Aliongea Waziri huyu huku akiangalia simu inayoita mpaka pale ilipokatika na ikaanza kuita tena ndipo alipo ipokea huku akikunja uso.
*****
Roma na Nasra walikua kusimamisha gari nje ya jengo la Zera Complex Mtongani kwa Azizi Ally.
“Tumekuja kufanya niini hapa Nasra?”
“Ndani ya hilo jengo kuna kampuni ya ulinzi inayofahamika kwa jina la PANZI ,miaka minne nyuma walikuja kukopa kwenye kampuni yetu kiasi cha shilingia bilioni mbili kwa makubaliano ya kurejesha baada ya miaka miwili , lakini mpaka sasa hawajarejesha na hawana mpango huo,hii ndio kazi yako ya kwanza ambayo unatakiwa kuifanya kwa kampuni , hivyo hakikisha pesa tunazowadai wanarudisha, yangu ni hayo tu mimi naelekea Mbagala kuna mteja namfatilia”Aliongea Nasra huku akitabasamu akimwangalia Roma.
“Sasa kama nyie mliowakopesha mmeshindwa mimi nitawezaje , na kwanini msitumie sheria kudai haki ya kampuni?”.
“Hilo limeshindikana Roma kuna kiongozi wa kisiasa anawakingia kifua sana na wanadai mkataba tuliowasainisha ni batili ,hivyo kwakuwa umekuwa ni wa kucheza gemu kila siku angalau fanya jambo kwa kampuni sio unakula mshahara tu kama kampuni ni ya mkeo”
Roma alishuka kwenye gari ya Nasra na kuliangalia jengo hili , na kuanza kutembea mdogo mdogo kuelekea mlangoni.
Nasra kwenye gari alionekana ni mwenye kuwaza hapa na pale , huku akikanyaga pedeli .
“Sijui Edna kawaza nini mpaka kuniambia nimpe kazi ile Roma , si watamuua yule mwanaume maana kwa ninavyojua ile kampuni kwanzia Bosi mpaka wafanya kazi wote ni wavuta bangi na wamepinda ni hatari na hata siui imekuwaje wakajiita kampuni ya Ulinzi , ingekuwa Japani au Korea wangeitwa ‘Gang’ au ‘Mafia’.”Aliwaza mrembo huyu.
Ukweli ni kwamba Edna alikuwa ni mwenye kuwaza hili na lile baada ya kuletewa mwaliko wa kuhudhuria mkusanyiko wa kibiashara unaowakutanisha wafanya biashara wakubwa ndani ya Taifa hili,kwa mkutano huo hili la kuhudhuria kwake lilikuwa la kawaida na halikumuogopesha wala kumtia mawazo kwani pia alipenda mkusanyiko huo kwani huleta fursa ya kujenga koneksheni na wafanya biashara wengine , tatizo kubwa lililokuwa likimfikirisha mrembo huyu , ni juu ya Roma , hakuwa tayari kumtambulisha Roma kwa wafanyabiashara wenzake kama mume.
Kwanza hakumpenda Roma kwasasabu hata ongea yake ilikuwa sio ya kiprofesheno na kuonesha kuwa ya kustaarabika , pili hakuwa na aibu hata kidogo na anafanya mambo bila kufikiria na kutojali chochote , kaliba ambayo mwanmke huyu membo hakuwa akiipenda kwani yeye alikuwa amestaarabika sana lakini kwa Roma hakuwa amestaarabika ,mambo yake alikuwa akifanya kimasikini masikini.lakini pia mwanadada huyu alikuwa akiujua kuwa kualikwa kwake kuhudhuria na Roma ni kama mtego , aliamini Abu kafanya hivyo kwa ajili ya kumkosoa Roma mbele ya wafanyabiashara hawa wakubwa na wenye heshima ili kumfanya Roma ajione kapuku lakini pia na yeye kuonekana kuchagua mtu ambae hakuwa wa hadhi yake .
Hii ni sawa kabisa katika ulimwengu wa kitajiri , matajiri hupenda kuoana na matajiri wenzao hivyo sio swala la kushanganza kwa mwanamke mrembo kama Edna kufikiria swala hilo.
Wakati Edna akiwa anawaza , aliinua mkonga wake w na kumuita Sekretari Monika na kumpa maagizo kuwa anamhitaji Mhasibu ofisini kwake na baada ya madakika kadhaa Nasra aliingia hapa ofisini.
“Ndio bosi”
“Nasra hivi PANZI walisemaje kuhusu hela tunayowadai?”
“Wanasema hawatorudisha na tukituma mtu kwenda kuwadai ,atarudi hana vidole”
“Mpe hio kazi Roma aifatilie”Nasra alishangaa
“Lakini bosi Roma hatoweza maana PANZI ni wajeuri sana ,na Roma anaweza kupata matatizo , maana ile siku walitupa onyo kama tukituma mtu kudai hela basi atarudi hana vidole”
“Fanya kama nilivyokuambia Nasra na akifanikisha hilo milioni mia ni yake”Aliongea Edna na kisha alichukua kitabu chake cha kingereza kilichosomeka uu ‘HOW TO LIVE WITH PERSON YOU DISLIKE’ yaani kwa tafsiri ya ‘JINSI YA KUISHI NA MTU USIEMPENDA’
“Ukijikuta katika nafasi ambayo huna chaguzi Zaidi ya kuishi na mtu usiempenda , hakikisha unafanya haya .kwanza kabisa kuwa na uhakika wa hisia zako za chuki zidi ya mtu huyo na andika chini kabisa sababu hizo ambazo zinakufanya umchukie sana huyo mtu , hii itakusaidia kujiwekea mipaka na mtu huyo ….”
Ni baadhi tu ya maelezo yaliokuwa yapo katika kitabu hiko Edna alichokuwa anasoma.
Upande wa Nasra hakujua kwanini bosi wake kaamua kumpa kazi hio ya hatari Roma .
“Na lile dudu lake lililivyokuwa kubwa , sijui kama akirudi litakuwa linafanya kazi”Aliwaza Nasra wakati akiingia hospitali ya Zakhem. Mbagala.
Comments