Reader Settings

Unaweza kurudi ulipoishia kupitia Maktaba.

Nasra alikuwa na aibu mno kama mwanamke , hakuwahi kuwaza atakuja kuwa uchi mbele ya Roma , alijishangaa ilikuwaje maana hakuwa ni mwenye kukumbuka kabisa , kumbukumbu zake za mwisho zilimwambia alikuwa ndani ya eneo hili la kuegeshea  magari akijiandaa kwenda nyumbanni , lakini baada ya hapo hakujua nini kilitokea.

“Roma nini , kimetokea kwanini umenivua nguo?”

“Nasra mrembo ,hebu vaa kwanza hizo nguo maana unaniweka kwenye wakati mgumu”Nasra alichukua nguo zile na kisha alivaa harakaharaka , hakujali tena macho ya Roma ambayo yalikuwa yanamwangalia , alijiambia hana cha kuficha  kwani mwanaume huyo alikuwa ashaona kila kitu.

“Nataka kujua nini kimetokea Roma kwanini niko hivi na nguo zangu ziko wapi?”.

“Hata mimi sijui nini kimekutokea , nimekukuta kwenye gari ukiwa hauna nguo ndio nikaenda kukununulia hizo unazoona”Alimdanganya , lakini bado Nasra hakuelewa  ila alikumbuka alipopatwa na usingizi ghafla.

Nasra aliona  hana haja ya kuendelea kuuliza maswali , kwani alimuona Roma kama mtu ambae hakuwa na maelezo ya ziada kwake kumfanya aelewe , lakini pia alijiona hajatumika na hilo likawa ni  ahueni.

“Huna haja ya kuwa na wasiwasi Nasra kwa sasa nenda nyumbani”Aliongea Roma kwa kujiamini na akijiandaa kutoka , lakini alishangaa kuvutwa na Nasra  na midomo yao ikagusana na Roma alijikuta akishangaa maana  ilikuwa ghafla sana.

“Asante Roma”Aliongea  huku akiona aibu za kike akijitoa kwa Roma  , lakini Roma  alitabasamu na kumvuta tena  na wakaanzza kunyonyana kwa spidi.

“Twende ninapoishi Roma”Aliongea Nasra

“Poa”

Roma ndio aliekuwa ameshikilia Usukani  na ndani ya madakika  machache tu walikuwa ndani ya  mikocheni  kwa Warioba , wakiingia ndani ya Apartment.

Roma alisifia mahali anapoishi  Nasra maana palionekana ni pakishua ,baada ya wawili hawa kuingia ndani walizama bafuni  na kilichosikika huko ni miguno ya kimahaba.

“Roma miguu haina nguvu twende kitandani”Aliongea mwanadada huyu na Roma hakumsemesha Zaidi ya kumbeba kwa mtindo wa Nasra kumkumBatia Roma  huku miguu akiwa ameipitisha kiunoni na Mtwangio wa Roma ukiwa ndani  ya kinu.

“Roma nioe”Aliongea Nasra mara baada ya  Roma kufikia kileleni.

“Nina mke Nasra na sina mpango wa  kuoa tena”Aliongea  Roma na kumfanya Nasra ahuzunike.

“Ila usijali ninaweza kuwa Zaidi ya mume  kwako  kama utanihitai mrembo eh”Huku akimimnya minya kalio kama Embe  na kumfanya Nasra Atabasamu.

Roma alikuwa ashasahau kabisa kurudi nyumbani  na wala hakuwa na mpango , walipika  wakala na kupakuana na kupumzika na kupakuana tena , huku Nasra  akiwa ni mwenye kupiga magoli mengi  mno  yasio kuwa na idadi na aliishia kujisemea moyoni kuwa katika siku zote alizofanywa siku hio kafanywa kweli  na hata alivyokuwa anakaa alishindwa kubana miguu.

Roma baada ya kuamka asubuhi  , alimwamsha Nasra na kisha walipiga  cha Asubuhi na Roma  akaoga na kisha akaondoka , alipanga arudi  nyumbani  kwake maana hakurudi Zaidi ya siku mbili.

Saa moja na nusu alikuwa akiingia ndani  nyumbani na kupokelewa kwa ukarimu na Bi Wema  lakini pia akipokelewa na jicho kali kutoka kwa Edna.

“Bebi nimerudi”Aliongea Roma huku akikaa kwenye meza kwani Edna na Bi wema walikuwa wakinywa chai asubuhi  ila kwa Edna aliitikia kwa  kutingisha kichwa na kuinuka.

“Bi Wema naelekea kazini sijisikii kuendelea kunywa chai leo”Aliongea Edna na kisha  akaanza kupiga mwendo huku Roma akimwangalia mke wake anavyotokomea nje.

“Kwenye wanawake  niliowahi kukutana nao Edna ni kiboko ya makauzu hafananii na urembo wake”Aliwaza Roma

Bi Wema licha ya kukasirishwa na kitendo cha Roma kutokurudi  nyumbani mfululizo , ila hakuwa na la kusema ,aliwaacha wanandoa na ndoano zao.

Edna alionekana hakuwa sawa hata kidogo , alionekana ni mambo mengi sana aliokuwa akiyawaza katika kichwa chake, moja ya vitu ambavyo vilikuwa vikimpa wakati mgumu mwanadada huyu  ni jambo ambalo amepata kulijua baada ya  kuangalia   kilichokuwa kwenye Flash aliokabidhiwa na mheshimiwa Senga.

Alijikuta akiingia kwenye  ofisi yake baada ya kusalimianana Sekretari wake na kujibwaga kwenye  kiti chake huku akionekana ni mwenye mawazo.

“Kwanini Mama hakuniambia  haya ,Juhudi zake zote  za kuiendesha hii kampuni kumbe yote  hayo hayakuwa na maana kwake Zaidi ya kisasi alichokuwa nacho moyoni ,kwanini kanichagua  kumsaidia katika kulipiza kisasi chake kupitia hii kampuni?”Aliwaza mengi mwanadada huyu  na ilionekana kuna siri kubwa ambayo alikuwa ameipata  kwenye ile Flashi aliokuwa amepewa na mheshimiwa Senga , Siri ambayo inamfanya kugundua kuwa mama yake  ana kisasi  juu ya jambo Fulani , lakini pia  ilionekana  kisasi hiko alishindwa kukitimiza mpaka wakati kifo kinamkuta na mtu pekee ambae alikuwa akipaswa kutimiza kisasi hiko ni yeye.

Mara nyingi sana ni ngumu kuona mzazi kumtaka mwanae  kumsaidia kulipa kisasi  , lakini jambo hilo lilionekana kufanywa na mama yake Edna.

“Nitajua tu nini kilitokea miaka ishirini  na tano iliopita,kwa maisha alioishi mama yangu ya kufanya kazi kama hakukuwa na kesho nadhani litakuwa ni jambo kubwa sana lililotokea”Aliwaza mwanadada huyu na alionekana pia kutokujua Zaidi ni nini kilitokea miaka ishirini na tano iliopita , kitu ambacho kinamfanya mama yake kuishi nacho moyoni kiasi cha kutaka kulipa kisasi na hata aliposhindwa kumtaka mwanae  kumsaidia kulipa  kisasi hiko.

Wakati mwanadada huyu akiendelea kufikiria , aliingia Monicca sekretari wake na kumtaarifu kuwa kuna mgeni wake na Edna alimwambia  amruhusu na alionekana Abubakari Hamadi CEO akiingia ndani ya ofisi ya huyu mwanadada.

“Karibu Mr Abubakari”Aliongea Edna akiweka sura ya kikarimu   na kutoka kwenye kiti chake na kwenda kuketi kwenye masofa.

“Asante Edna”.Aliongea  Abuu huku akimwangalia Edna kwanzia miguuni hadi kwenye kichwa.

“Anazidi kuwa mzuri ,roho inaniuma fala kama Roma ndio anaeufaidi huu uzuri”

“Nadhani  hujaja kunikodolea macho Mr Abubakari”Aliongea Edna mara baada ya kumuona jinsi Abu anamvyokodolea macho  ya kifisi.

“Hakika unazidi kuwa mrembo kila siku ninayokuona Edna, inaniuma kila siku kuona  hutaki kuzielewa hisia zangu”.

“Abu nadhani unapaswa kuwa Profesheno , huu ni muda wa kazi na tunapaswa kuongelea maswala ya kazi , na isitoshe sipendi uvuke mpaka , mimi ni mume wa mtu na unavyoniambia hayo maneno ni kama kunivunjia heshima na kuniona mimi Malaya”Aliongea Edna huku akionekna ni mwenye kuwa na usiriasi wa hali ya juu na kumfanya  Abu azidi kumchukia Roma moyoni.

“Nini umekipenda haswa kutoka kwa  yule masikini Edna?”.

“Abu kama huna jambo la maana ambalo limekuleta hapa naomba  uondoke nipo kazini”.

“Sorry Edna”Aliongea ila Edna hakujali na Abuu  baada ya  kumwangalia mrembo huyu  alivyokasirika aliingiza mkono wake kwenye koti na kutoa bahasha  na kisha alimkabidhi Edna.

Edna alichukua kile kijibahasha na kisha   akakifungua  na kusoma kilichoandikwa .

“Nadhani  hujasahau kuwa wewe ni mmoja wa  mwanachama wa Umoja wa wawafanya biashara nchini, hivyo kama ilivyokuwa tamaduni kwa kila mwaka  wafanya biashara nchini hukusanyika  kwa pamoja  mara moja kwa mwaka, kadi hio ni ya mwaliko”

“Ndio ni ya mwaliko , lakini kuna haja gani ya Hafla hio kuwa siku ya kunipongeza kwa kupata mume , naona swala hili ni binafsi”.

“Najua unachomaanisha Edna , lakini tamaduni ni tamaduni,wanachama wanataka umtambulishe mume wako kwao , sidhani swala hili lina tatizo Edna  na isitoshe wewe sio wa kwanza kufanya hivyo , hizi ni  taratibu ambazo zinafanyika kila mwaka  kwa wanandoa wapya katika ulingo wa biashara kufanya hivyo”Aliongea Abu.

Edna alivuta pumzi nyingi na kisha akazitoa na kuangalia tena tarehe ya kadi hio na kisha akamwangalia Abu,

“Hakuna shida , itakuwa jambo jema pia kwa wafanya biashara kumjua mume wangu”Aliongea Edna na kumfanya Abuu achukie moyoni ila alionyesha tabasamu usoni.

Hilo ndio jambo lililonileta hapa  japo ni dogo , lakini nimepata nafasi ya kukuona Edna na angalau moyo wangu unaokuwazia kila siku umepata ahuieni”.

“Kama ndio hivyo basi unapaswa kwenda Abu nina kazi nyingi za kufanya”Abu hakutaka kumkera Edna , alitoka  ndani ya ofisi.

“Hivi jamani mnamuonaje CEO Abu?”Aliongea  Recho kwa sauti kiasi cha kumfanya Roma aliekuwa akicheza gemu atege sikio kwa umakini na kujiuliza kwanini Stori za Abu zimeingia katika maongezi ya warembo hawa.

“Namuona  kama mwanaume mwenye mvuto na handsome , alie na mafanikio ya juu na msomi sidhani kama kuna mwanamke ambaye anaweza kumkataa hapa mjini”Aliongea Benadetha

“Wewe nae unajiongelesha kama umesahau kuwa  Abu anateseka  juu ya Edna miaka na miaka lakini ameshindwa hata kuambulia kisi”.Aliongezea mwanadada mmoja anaefahakika kwa jina la Tina huku akiendelea kujipaka poda na kuendelea kujiangalia kwenye kioo.

“Bosi wetu  na ukauzu wake  kuna siku  tu ataingia kingi”.

“Haiwezekani labda mimi sio Roma”Aliropoka Roma na kufanya warembo hawa waliokuwa wamemsahau  kama yupo wamwangalie  na kisha wote wakaanza kucheka.

“Eti Roma mpenzi , kwenye maisha yako wewe ni jambo gani kubwa ulilokamilisha?”Aliuliza Recho na kuwafanya wadada hawa  wote wamwangalie.

“Hii  ndio hasara ya kufanya kazi na wanawake tu , angalia wote wanavyoniangalia , inabidi niwatembezee bakora za kimkakati waache  kuniangalia kwa dharau”

“Kusema ukweli sina nilichokamilisha katika maisha yangu , mimi kila kitu natumia cha mke wangu gari kanipa mke wangu , nguo mke wangu”

Waliangaliana na kisha wote wakacheka ,lakini  walikuja kunyamazishwa mara baada ya mrembo Nasra kuingia ndani ya ofisi hii, alikuwa ameshika mkononi  juisi  na alienda nayo mpaka kwenye meza ya Roma na kuiweka.

“Roma nimekuja kuna jambo Nataka unisaidie , sina mwingine wa kunisaidia na wewe pekee ndio mwanaume  hapa ndani”

“Niambie ni jambo gani hilo Mrembo,Mimi ni nani hata nisikusadie mwanamke mzuri kama wewe”Aliongea  huku akimkonyeza na Nasra kuona aibu za kike huku akikUmbuka namna ambavyo amekunjwa jana yake na mpaka wakati huo  mbususu bado haijapoa  na kuona aibu zaidi.

“Utaona tukifika , ila ni  nje ya hapa”Aliongea mwanadada huyu na Roma akaona itakuwa vyema akinyoosha nyoosha mwili , maana hakuwa na kazi Zaidi ya kucheza magemu.

Roma alimkonyeza Recho aliekuwa akiwashangaa wawili hao namna wanavyoongea tofauti na siku zote na kuhisi kuna kitu kinachoendelea.

“Nina wasiwasi na Roma hajamtia kweli Doris na Nasra huyu?”

Aliwaza  Recho huku akikumbuka  ile skendo ya waziri Neema Luwazo , licha ya kuona picha ile iliokuwa ikifanana na  Roma akili yake ilikataa katakata kama mtu yule ni Roma ,na sio yeye tu hata wafanya kazi wenzake walivyokaa kikao na kujadilina swala hilo walifikia maamuzi kwamba yule bwana hakuwa Roma , maana walikuwa wakimjua  vyema Neema alikuwa Mzuri na wa hadhi ya juu.

Laiti wangejua kuwa Roma alimfanya huyo mwanamke mpaka akayaita maji ‘mma’ wasiongekuwa na mawazo ya kejeli ya namna hio.

*****

Upande mwingine ndani ya jengo refu la PSSF  flour namba kumi na moja  , walionekana wafanyakazi wa juu wa  MapleGroup(Top executive officers)  wakiwa wamezunguka meza kubwa  wadada na wanaume wakiwa na tarakishi  zao za kimapakato za bei ya juu , wakiwa wamekaa kulia na kushoto , huku mwisho wa meza  alionekana mwanadada mrembo akiwa ameketi huku wafanya kazi hawa waliovalia suti   kumwangalia kwa kutamani kuketi kwenye kiti alichokalia , ndani hapa kulionekana kukiwa na kikao kilichokuwa kikiendelea.

“Kama nilivyokwisha kutangulia kusema kwamba kwa sasa Hoteli za kampuni yetu zimezidi kuwa maaufu sana hapa nchini na nje  ya nchi kutokana na ubora wa huduma  zake , lakini licha ya umaarufu huo mapato yanaonekana bado hayajaongezeka  kwa kiasi kikubwa nje ya malengo ya mwaka hun ya kampuni , hivyo   kwa utafiti niliofanya nimekuja na hitimisho ambalo litaipelekea  kamapuni kuongeza mapato katika upande wa hoteli na hitimisho hilo ni kufungua  hoteli za nyota tatu nyingi Zaidi nchini  , katika maeneo ambayo  yanatembelewa sana na watalii kama Lushoto ,Iringa ,Kahama na kwingineko”Aliongea bwana mmoja hivi mweupe aliekuwa amevalia miwani huku akiwa na suti yake ya Kaunda ya bei mbaya ,  bwana huyu alionekana alikuwa akielezea namna ya kuinua mapato ya kampuni hii ya Maple Group.

Baada ya kijana huyu kukoma kuongea , alimgeukia mwanamke ambaye alikuwa kiongozi wa kampuni hii , lakini mwanamke huyo mrembo alionekana  kuwa mbali kimawazo na hata wafanya kazi hawa walimshangaa bosi wao, kwani hawakuwa wamemzoea kuwa katika hali kama hio , walimjua kama moja ya wanawake wachapakazi.

“Mheshimiwa?”Aliita kijana huyu na kumshitua mwanamke huyu mrembo na kumwangalia kijana aliekuwa mbele yake.

“Alhaji naamini katika mipango yako , hivyo endelea na  huo mpango  ila naomba uniwekee mpango huo katika maandishi na umpe Grace  auingize katika  kashabrasha langu”

“Sawa Bosi”Aliongea Alhaji na kisha mwanamke huyu aliondoka , huku akiwaacha  wafanya kazi wakimpigia Alhaji makofi kwani  waliliridhishwa na wazo lake.

“Grace fanya maandalizi  , kesho nataka kurejea Dodoma kwa ajili ya  vikao  vinavyoendelea Bungeni”Naama huyu ni mrembo Neema pisi ya Mheshimiwa Kigombola.

Neema mara baada ya kuingia  kwenye ofisi yake kubwa ndanni ya jengo hili , aliketi na kisha akazungusha kiti na kuangalia mandhari ya jiji huku akionekana ni mwenye kufikiria jambo.

“Yule mwanaume sijui nampataje tena , Kila ninapofumba macho  kumbukumbu zangu zinanirudisha  siku ile akiniingiza dudu lake,ni hisia ambazo sijawahi kuexperience kwenye maisha yangu,Natamani kumtafuta  kwani nina uwezo huo , lakini ngoja niache, kama Mungu akitukutanisha tena naapa kwa majina yote ya mbingu na ardhi  simuachii hata kama ni mume wa mtu nitakuwa mchepuko wake grade A”Aliwaza Neema Luwazo Naibu waziri huyu mrembo wa Sanaa.

Wakati akiendelea kufikiria mara simu  yake kubwa ya Iphone ilianza kuita na kuangalia jina na lilisomeka ‘Mchomvu”.

“Huyu kizee nae  msumbufu kweli, na kitumbua changu atakisikia kwenye bomba”Aliongea Waziri huyu huku akiangalia simu inayoita mpaka pale ilipokatika na ikaanza kuita  tena ndipo alipo ipokea huku akikunja uso.

*****

Roma na Nasra walikua kusimamisha gari nje  ya jengo la Zera Complex Mtongani kwa Azizi Ally.

“Tumekuja kufanya niini hapa Nasra?”

“Ndani ya hilo jengo kuna kampuni ya ulinzi inayofahamika kwa jina la PANZI ,miaka minne nyuma walikuja kukopa kwenye kampuni yetu kiasi cha shilingia bilioni mbili   kwa makubaliano ya kurejesha baada ya miaka miwili , lakini mpaka sasa  hawajarejesha na hawana mpango huo,hii ndio kazi yako ya kwanza ambayo unatakiwa kuifanya kwa kampuni , hivyo hakikisha pesa tunazowadai  wanarudisha, yangu ni hayo tu mimi naelekea Mbagala kuna mteja namfatilia”Aliongea Nasra huku  akitabasamu akimwangalia Roma.

“Sasa kama nyie mliowakopesha  mmeshindwa mimi nitawezaje , na kwanini  msitumie sheria kudai haki ya kampuni?”.

“Hilo limeshindikana Roma  kuna kiongozi wa kisiasa anawakingia kifua sana  na wanadai mkataba tuliowasainisha ni batili ,hivyo kwakuwa umekuwa ni wa kucheza gemu  kila siku angalau fanya jambo kwa  kampuni sio unakula mshahara tu  kama kampuni  ni ya mkeo”

Roma alishuka  kwenye gari ya Nasra  na kuliangalia jengo hili , na kuanza kutembea mdogo mdogo kuelekea mlangoni.

Nasra kwenye gari alionekana ni mwenye kuwaza hapa na pale , huku akikanyaga pedeli .

“Sijui Edna kawaza nini mpaka kuniambia  nimpe kazi ile Roma , si watamuua yule mwanaume maana   kwa ninavyojua ile kampuni kwanzia  Bosi mpaka  wafanya kazi wote  ni wavuta  bangi na wamepinda ni hatari na  hata  siui imekuwaje wakajiita kampuni ya Ulinzi , ingekuwa Japani au Korea wangeitwa ‘Gang’ au ‘Mafia’.”Aliwaza mrembo huyu.

Ukweli ni kwamba Edna alikuwa ni mwenye kuwaza hili na lile baada ya kuletewa mwaliko wa kuhudhuria mkusanyiko wa kibiashara unaowakutanisha wafanya biashara wakubwa ndani ya Taifa hili,kwa  mkutano huo hili la kuhudhuria kwake lilikuwa  la kawaida na halikumuogopesha  wala kumtia mawazo kwani pia alipenda mkusanyiko huo kwani huleta fursa ya kujenga koneksheni na wafanya biashara wengine , tatizo kubwa lililokuwa likimfikirisha mrembo huyu , ni juu ya Roma , hakuwa tayari kumtambulisha Roma kwa wafanyabiashara wenzake kama mume.

Kwanza hakumpenda Roma kwasasabu hata ongea yake ilikuwa sio ya kiprofesheno na kuonesha kuwa ya kustaarabika , pili hakuwa na aibu   hata kidogo  na anafanya mambo bila kufikiria na kutojali chochote , kaliba ambayo mwanmke huyu membo hakuwa akiipenda kwani yeye alikuwa amestaarabika  sana lakini kwa Roma hakuwa amestaarabika ,mambo yake alikuwa akifanya kimasikini masikini.lakini pia mwanadada huyu alikuwa  akiujua kuwa kualikwa kwake kuhudhuria na Roma ni kama mtego , aliamini Abu kafanya hivyo kwa ajili ya  kumkosoa Roma mbele ya wafanyabiashara  hawa wakubwa na wenye heshima ili kumfanya Roma ajione kapuku lakini pia na yeye kuonekana kuchagua mtu ambae hakuwa wa hadhi yake .

Hii ni sawa kabisa katika ulimwengu wa kitajiri , matajiri hupenda kuoana  na matajiri wenzao  hivyo sio swala la kushanganza kwa mwanamke mrembo kama Edna kufikiria swala hilo.

Wakati Edna akiwa anawaza , aliinua mkonga wake w na kumuita Sekretari Monika na kumpa maagizo kuwa anamhitaji  Mhasibu ofisini kwake na baada ya madakika kadhaa Nasra aliingia  hapa ofisini.

“Ndio bosi”

“Nasra hivi PANZI walisemaje  kuhusu  hela tunayowadai?”

“Wanasema hawatorudisha na tukituma mtu kwenda kuwadai ,atarudi hana vidole”

“Mpe hio kazi Roma aifatilie”Nasra alishangaa

“Lakini bosi Roma hatoweza maana PANZI ni wajeuri sana ,na Roma  anaweza kupata matatizo , maana ile siku walitupa onyo kama tukituma  mtu kudai hela basi atarudi hana vidole”

“Fanya kama nilivyokuambia Nasra na akifanikisha hilo milioni mia ni yake”Aliongea Edna na kisha alichukua kitabu chake  cha kingereza  kilichosomeka uu ‘HOW TO LIVE WITH  PERSON YOU DISLIKE’ yaani kwa tafsiri ya ‘JINSI YA KUISHI NA MTU USIEMPENDA’

“Ukijikuta katika nafasi ambayo huna chaguzi Zaidi ya kuishi na mtu usiempenda , hakikisha unafanya haya .kwanza kabisa  kuwa na uhakika wa hisia  zako za chuki zidi ya mtu huyo na andika chini kabisa  sababu hizo ambazo  zinakufanya umchukie sana huyo mtu , hii itakusaidia kujiwekea mipaka na mtu huyo ….”

Ni baadhi tu ya maelezo yaliokuwa yapo katika kitabu hiko Edna alichokuwa anasoma.

Upande wa Nasra hakujua kwanini  bosi wake kaamua kumpa kazi hio ya hatari Roma .

“Na lile dudu lake lililivyokuwa kubwa , sijui kama akirudi litakuwa linafanya kazi”Aliwaza Nasra wakati akiingia hospitali ya Zakhem. Mbagala.

Previoua Next