"Mimi Jimmy Julian Jairo tangu nizaliwe sijawahi kumsujudia mtu yoyote, hata atokee shetani mwenyewe sitomsujudia, wewe ni nani mpaka utake nikusujudie?"
"Mbona unafanya mambo kuwa magumu kijana kuna ugumu gani wa wewe kuinama?"
"Sikia we mzee Sa... nani sijui, nimesema hiviii sitoinama!"
"Unajua unayesimama mbele yake? Naweza kufuta uwepo wako kwa mkono mmoja tu, lakini kwa moyo mkunjufu ninataka kukurithisha nguvu zangu, nachohitaji ni uiname
…Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments