Reader Settings

Unaweza kurudi ulipoishia kupitia Maktaba.

NITALALA NA WEWE MKE WANGU

Palepale alisogea kwa kasi kumlenga Hamza , siraha yake ilitengenza duara la ajabu hewani kutokana na ukali wa mbinu aliokuwa akitumia. Ilionekana alikuwa akitumia na nishati za mbingu na ardhi kwa wakati mmoja na kufanya mashambulizi yake kuwa makali maradufu.

Hamza ni kama alikuwa akikwepa vivuli vya upanga kwa kwenda mbele nyuma , kushoto na kulia kwa ustadi wa hali …

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 2 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next