Febiani_Babuya

6
Followers
3
Votes

Log in to interact

About Me

Hello! I'm a writer on FasihiNet, passionate about creating compelling stories that transport readers to new worlds.

Habari! Mimi ni mwandishi hapa jukwaa la FasihiNet, kazi yangu ni kuhakikisha msomaji unaburudika na kujifunza kwa wakati mmoja. Naomba mchango wako kwa kufungua baadhi ya kurasa za simulizi yangu nilizofunga🙏.

đź”” Make sure to follow me to get live updates on my latest novels and chapters as soon as they're added!

Mawasiliano

📞 Kwa mawasiliano zaidi, unaweza kunitafuta kupitia WhatsApp: +255621567672

đź“§ Au unaweza kunipata kupitia barua pepe: [email protected]

Simulizi zangu:

JIJI LA KAMARI
JIJI LA KAMARI ( GAMBLING CITY)

INTRO...........
Usiku wa kiza kinene ambacho kilikuwa kinasindikizwa na mvua ambazo hazikuwa na mpaka wa kuweza kuz…
I WANT TO DIE JUDGE (NATAKA KUFA HAKIMU)
I WANT TO DIE JUDGE ni hadithi ya kijana mmoja aliyeitwa Jamal, ambaye alishuhudia tukio la kutisha ambapo familia yake yote iliuawa kwa ukatili na w…
BADO NINAISHI
BADO NINAISHI.

Inamhusu mwanaume mmoja ambaye alikuwa ni kiongozi wa genge la kihalifu ambalo lilikuwa linaitwa SARAFU KUMI NA TANO.

Mwanaume huyo …
SIKU ZA MWISHO- (THE DARKNESS OF AN ANGEL)
SIKU ZA MWISHO!!!!!

Je wewe ni mdau wa IDAIWE MAITI YANGU? Je wewe ni mdau wa SAFARI YA GAVIN LUCA? Kama jibu ni ndiyo kwanini usiisome SEHEMU YA MW…
Gereza la Hazwa
Mvua ilimwagika kwa nguvu, upepo mkali ukiparaganya miti na radi zikilipuka mithili ya mapigo ya ngoma za kuzimu. Huu si msitu wa kawaida—ni Elnino, …
NAFSI ZILIZO TELEKEZWA
NAFSI ZILIZO TELEKEZWA!!!!! âś…

NINI SIRI YA NAFSI ZILIZO TELEKEZWA?

Inahusu nini, inamhusu nani, kipi kipo nyuma yake?

Mwaka 1991, ni mwaka ambao …
Safari ya Gavin Luca- Lionela
Idaiwe Maiti Yangu Season 2 âś…

Gavin Luca

Katika Idaiwe Maiti Yangu, tulimfahamu Gavin Luca, lakini alibaki kuwa na hali ya kutatanisha. Hatukujua k…
IDAIWE MAITI YANGU
GAVIN LUCA

Ndilo jina ambalo limeishikilia Idaiwe Maiti Yangu.

Hili ni jina la mwanamume mmoja ambaye anatusafirisha mpaka Kenya, ndani ya msitu wa…
JUMBA JEUSI
JUMBA JEUSI......

SIASA NI KAMARI....Je NANI HUIBUKA MSHINDI?

JUMBA JEUSI ni andiko ambalo linaangazia siasa kwa ujumla wake....

Inaangazia namna …