Singanojr

16
Followers
8
Votes

Log in to interact

About Me

Hello! I'm a writer on FasihiNet, passionate about creating compelling stories that transport readers to new worlds.

Habari! Mimi ni mwandishi hapa jukwaa la FasihiNet, kazi yangu ni kuhakikisha msomaji unaburudika na kujifunza kwa wakati mmoja. Naomba mchango wako kwa kufungua baadhi ya kurasa za simulizi yangu nilizofunga🙏.

🔔 Make sure to follow me to get live updates on my latest novels and chapters as soon as they're added!

Mawasiliano

📞 Kwa mawasiliano zaidi, unaweza kunitafuta kupitia WhatsApp: +255623367345

📧 Au unaweza kunipata kupitia barua pepe: [email protected]

Simulizi zangu:

Shetani rudisha akili zetu
Saa saba mchana Frida alionekana akiingiza gari ndani ya hospitali na taasisi ya kitafiti ya Neuroscience inayopatikana Kibaha , kilomita kadhaa kuto…
Masaa mawili ya kumbukumbu
Kijana Masumbuko ambae anaonekana kuwa na uwezo usiowa kawaida , uwezo wa kumfanya mtu kufanya kile anachokitaka yeye kwa kumkonyeza machoni huku…
Damiani
Damiani mhitimu wa chuo kikuu cha uhasibu , anahitimu masomo yake na kurudi kijijini kwao kwa ajili ya kusubiria upepo wa ajira lakini katika hali ya…
Niliemdhania kahaba kumbe bikra
Roma mbeba mizigo ndani ya soko la Mbagala Rangi Tatu anamdhania Edna Kama mwanamke anaejiuza ,baada ya mwanadada huyu kuwekewa dawa ya usingizi kwen…
Mkasa wa kusisimua wa Rojaz katika kipindi cha Sitasahau cha Radio Free Africa
Naitwa Rojaz, nikiwa mtoto wa tatu kati ya watoto sita katika familia yetu. Nimezaliwa kwa wazazi ambao walikuwa na ndoto ya kuona watoto wao wanapat…